ONYO UKIWA HUJAOA AU KUOLEWA USISIKILIZE AUDIO HIII SITAHUSIKA NA LOLOTE
WEngi tunajikuta tulikua tunapendana sanA kabla ya kuoana NA kuambiana maneno mazuuuri kuliko ASALI na kila mtu alikua anampenda mwenziwe saana zaidi ya sana lakini upendo unakufa na kupungua baada ya kuoana
YOTE yanatokea kwa sababu za kuzoeana na kila mtu anakua na mwenziwe hatimaye yale maneno mazuri yanatoweka kabisa
nini CHA KUFANYA ikitokea hayo?
jitahidi kurudisha upendo wako kwa kumwambia maneno mazuuri mke wakoo
SIKILIZA AUDIO HIYO KUTOKA KWA (AL AKHY IBRAHIM SIYAFU 95)
KWA mawasiliano zaidi nitafute kupitia .........
FACEBOOK ::::::::: SIYAFU
WHATSAPP :::::::::: +255 776 881 946
TELEGRAM ::::::::::: +255 776 881 946
YOUTUBE ::::::::::: SIAFU 95 TV
CALL & SMS ::::::::::: +255 776 881 946
No comments