*Je unamatatizo?*
*Hakuna dua nzuri ya mazito kama;*
حَسْبُنَا اللَّهُ وَنِعْمَ الْوَكِيلُ
*Hasbuna Allahu waneemal wakiil*
MAANAKE;
*Anatutosha Allah nae ni mbora wa kutegemewa*
Pili
وَأُفَوِّضُ أَمْرِي إِلَى اللَّهِ
*Wa ufawwidu amrii ilaa Allah*
MAANAKE;
*Nami namkabidhi ALLAH mambo yangu*.
Pamoja na kuleta *ISTIGHFARI* kwa wingi kwa kusema;
*(ASTAGHFIRULLA* *ALADHIIM WA ATUUBU ILEYHI )*
*Kama mambo yako shwari rushia 📲wenzako kweni haujui matatizo ya wenzako!*
Muombee dua Aliekufikishia haya👆🏽
*🕋mkono kwa mkono hadi peponi🕋*
No comments